Sunday, March 28, 2010

UNAMKUMBUKA JOHN MAHUNDI???

JOHN MAHUNDI ATINGA BONGO
Producer Mkali afanyae kazi zake Marekani John Mahundi kwa sasa yupo Bongo baada kufiwa na Mama yake mzazi aliyefariki wiki iliyopita baada ya kupelekwa India kwa matibabu.Kwa sasa John yupo nyumbani na familia yake na pia anatoa shukurani kwa ndugu jamaa na marafiki kwa ushiriki wao katika kipindi hiki kigumu. Mungu ailaze pema roho ya Mama yetu mpendwa na pia awape nguvu familia ya Mahundi.Pia kuna Mikono yake inakuja soon kwani kwa sasa yupo katika studio ya Seductive Records akipika Beats zilizokwenda shule.Pichani ni John Mahundi kushoto akiwa na C.E.O wa Emptysoulz Poduction Solomon Lamba wakiwa Seductive Records

1 comment: